top of page
Search

Sherehe ya Watoto wa TSA - Majira ya Kiangazi 2022

Updated: Jun 15, 2022

Tarehe 12 Juni 2022 watoto wa TSA, na marafiki zao walikutana kucheza pamoja, kufurahi na kujifunza mambo mbalimbali ya kitanzania. Shughuli hii iliandaliwa na uongozi mzima wa TSA chini ya mwenyekiti na mkurugenzi mtendaji wake Bi Rose Lupiana, makamu mwenyekiti Bi Christer Mghamba, Mwenyekiti wa Bodi ya wadhamini Bi Eva Ernest, kiongozi wa Kids Club Bi Stella Eddington. Kwa niaba ya TSA tunawashukuru wote waliojitoa kwa hali na mali kufanikisha shughuli hii muhimu. Mambo yalikuwa kama inavyoonekana pichani.










 
 
 

Recent Posts

See All
TSA Summer Annual Bash

Tarehe 6 July 2025 Watoto wa TSA walijumuika na wenzao kusherehekea majira ya kiangazi kwa kuogelea na kucheza pamoja. Shughuli ilifana...

 
 
 
Mwaka Mpya 2025 na TSA Raha Club

Usiku wa tarehe 31 Desemba kuamkia tarehe 1 January 2025 wanachama wa TSA Raha Club walikutana nyumbani kwa dada Eva kuukaribisha mwaka...

 
 
 

2 Comments


julietcambra
Jun 16, 2022

Love to see this!! Well done TSA!!

Like

Job well done

Like
bottom of page